CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Tuesday, December 15, 2015

MIGOGORO YA NDOA INAWATESA WATOTO

Migogoro ya kifamilia hasa ya wazazi ni sumu kubwa kwa mafaniko ya mtoto, mara nyingi watoto hujikuta wakishindwa kuendelea kimasomo kwa sababu ya wazazi kutengana na kujikuta wanayumbishwa kutoka kwa mzazi mmoja kwenda kwa mwingine au kulelewa na wazazi wa kambo ambako hupewa malezi yasiyostahili.

Ndugu zangu malezi ya wazazi wawili (baba na mama) ndiyo yanayomkuza mtoto na kumtambulisha katika jamii kwamba yeye ni nani?

Kama una mtoto na unadhani Migogoro au matatizo ya familia yako yanachangia kurudisha nyuma maendeleo ya mwanao tuwasiliane kwa namba : 0686 484866
Email: socialworkertz@yahoo.com

No comments:

Post a Comment