CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Saturday, December 12, 2015

JINSI YA KUMSAIDIA MTOTO ALIPOTEZA WAZAZI WAKE KUTOKANA NA KIFO.


Ndugu zangu,
Kufiwa sio jambo dogo hasa linapowakuta watoto wadogo, kuna vitu vingi vinatokea katika ubongo wa mtoto kutokana na kuwa anakua anajiuliza maswali Mengi ambayo hana  majibu sahihi na huwa hawapendi kumshirikisha mtu yeyote.

Hii hupelekea mtoto kuanza kuwa na tabia zisizo pendeza kwa walezi wake kama dharau, kibri, kujitenga, kuhisi anaonewa, ukorofi, kufanya vibaya darasani na wakati mwingine kujiingiza kwenye makundi yasiyo mazuri, n.k

Kama una ishi na mtoto wa Ndugu yako ama mwanao na Umekua ukiziona tabia za namna hiyo na ujui ufanyenini tafafhari tuwasiliane tuweze kumsaidia huyo mtoto ili aweze kutimiza ndoto zake.

Simu: 0686 484866
Barua pepe: socialworkertz@yahoo.com

No comments:

Post a Comment