CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Monday, November 9, 2015

Tamko la Afisa utawi juu ya kesi iliyo kuwa ikimkabili Babu Seya na mwanawe.

Umefika wakati ambao Maafisa ustawi hatupaswi kufumbia macho vitendo vya kikatili wanavyo fanyiwa watoto wetu.

Niwakati wa kupaza sauti kupinga kwa nguvu zote kama alivyo fanya dada Bahati Kessy kupitia ukurasa wake wa facebook.
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=941496185931991&id=100002148563689

No comments:

Post a Comment