CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Tuesday, March 25, 2014

MAANDALIZI YAPAMBA MOTO. MIAKA 40 YA CHUO CHA USTAWI WA JAMII.


Haya ni maandalizi ya maadhimisho ya miaka40 (40 anniverssary) ya chuo cha ustawi wa jamii ambapo kesho yanatarajiwa kufunguliwa rasmi ndani ya viwanja vya ustawi wa jamii na makamu wa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, na kilele cha maadhimisho tarehe 28/03/2014 ambapo mgeni anatarjiwa kuwa mh. Jakaya Mrisho Kikwete. Woote mnakalibishwa kesho.

No comments:

Post a Comment